Mchezo huu mpaka kipindi cha kwanza kinaisha Bakoba walikuwa mbele ya bao 6-0 dhidi ya kibonde Ijuganyondo. Kipindi cha pili Bakoba waliendeleza ubabe wao wa kuziona nyavu na kweza kufunga bao 5 na huku wakikosa mabao mengi na ya wazi.
Mashabiki wakishangilia jukwaa kuu
Furaha ikatanda kwa Mwinyi kushoto hapa!!! akiwa na wachezaji wa akiba
Mashabiki wakiwa hawana hamu!!! wengine wakisikitika kwa kile kinachoendelea na wengine wakisikitika kuona Bakoba wanaendelea kukosa mabao kadhaa kwenye goli la Ijuganyondo!!!
wakati wa mapumziko Bakoba wakipongezwa kwa kazi nzuri!
Mashabiki
Patashika za hapa na pale kwenye goli la Ijuganyondo!
Kikosi cha Bakoba
Bakoba wakijiachia kwenye kamera
Baada ya mechi kuisha Bakoba wakipongezana na kuomba kwa kile walichokifanya uwanjani Kaitaba cha kuwazaba Ijuganyondo bao 11-0
Patashika mchezaji wa Ijuganyondo aliumia kichwani baada ya kukogana kichwa na mwenzake
Kipa wa Ijuganyondo hoi!!!
Hoi!!!!!!!!! kibano cha 11-0!!............hakunaga!
No comments:
Post a Comment