Saturday, March 15, 2014

UZINDUZI WA MTANDAO WA JUMUIYA YA FAWE ZANZIBAR

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akizindua Mtandao wa  Blog ya  Jumiya ya Fawe Zanzibar katika ukumbi wa Chuo  Kikuu cha Zanzibar SUZA leo asubuhi,(kulia) Naibu Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Khadija Ali Mohamed
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein alipozungumza na wanachama na wananchi katika uzinduzi wa Mtandao  wa Fawe Zanzibar uliofanyika leo katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (katikati) akimkabidhi cheti  Bi Asha Abdalla Juma kwa niaba ya Bi Mwatima Abdalla Juma wakiwa waanzilishi wa Jumuiya ya Fawe Zanzibar ,wakati wa uzinduzi wa WEB SITE ya Jumuiya hiyo Uliofanyika katika Ukumbi wa  wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA.
Baadhi ya wanachama wa Jumuiya ya Fawe Zanzibar na wananchi wakimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein alipozungumza katika uzinduzi wa Mtandao wa  Fawe Zanzibar uliofanyika le katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA. Picha na Ramadhan Othman, Ikulu Zanzibar

No comments:

Post a Comment