Thursday, April 24, 2014

PICHA NA TAARIFA:BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI NA MEXICO LIBERATA MULAMULA AWAASA WANA DMV KUJITOKEZA KWA WINGI KATIKA SHEREHE ZA MUUNGANO

 Mh.balozi akishauriana jambo na mkuu wa kitengo cha mawasiliano katika wizara ya mambo ya nje Bi.Mindi Kasiga ambaye atakuwa ndio MC wa shughuli hiyo.
 Mh.Balozi wa Tanzania Marekani na Mexico Liberata Mulamula akizungumzia maandalizi ya sherehe za miaka 50 ya muungano ofisini kwake Washington Dc Jumatano, Aprili 23, 2014.
 Mwenyekiti mwenza wa kamati ya maandalizi afisa ubalozi Suleiman Saleh akijibu maswali ya mabloger wa DMV,kulia kwake ni Dickson Mkama wa Swahili TV

Mh, balozi akijibu maswali kushoto ni Sunday Shomari na kulia kwa balozi ni Mubelwa Bandio wa Kwanza production.
--
Katika mkutano huo na mablogger wa DMV Mh,Balozi Liberata Mula mula amesema maandalizi sasa yamepamba moto ikiwa ndio count down kuelekea D-day (wakihesabu siku zilizobaki kuelekea siku ya kilele cha maadhimisho hayo ya miaka 50 ya muungano wa Tanzania). Mh.balozi ameasa watanzania wa DMV na majimbo ya karibu kujitokeza kwa wingi katika siku hiyo kwani ni siku ya kihistoria kwa taifa la Tanzania na inafanyika kwa mara ya kwanza Washington Dc.

 Ameeleza kuwa kila kitu kitu kiko tayari na katika siku hiyo ameeleza mtiriririko mzima ambapo sherehe zitaanza asubuhi katika ofisi za ubalozi wa Tanzania Dc ambapo kutakuwa na "Open house " ikiwa na maana maonyesho ya kuitangaza Tanzania ilikotoka, iliko na inakoelekea ikiwa ni pamoja na maonyesho ya mitindo , utalii na mavazi ya mtanzania , shughuli hiyo itaanza saa 4 asubuhi mpaka saa tisa alasiri. Na katika hafla hiyo kutakuwa na vyakula vya aina mbali mbali vya Tanzania kuanzia kifungua kinywa mpaka chakula cha mchana ambapo kutakuwa na vyakula mbali mbali vya Tanzania kama vile mihogo, maandazi, kalmati n.k. 

vitafunwa hivyo vipo zaidi ya aina 22, aidha amesema pia kutakuwa na chakula cha mchana ikiwa utakosa cha asubuhi kama vile pilau, maharage, mihogo ya Nazi n.k. Mchana chakula kitapatikana kati ya saa 7 hadi 8 alasiri pia kutakuwa na vinywaji kutoka Tanzania kama vile Konyagi, bia za Tanzania, Juice na wine ambavyo tayari vimeshawasili. Vyakula hivi ni bila malipo yeyote amesisitiza. Kutakuwa na maonyesho mbali mbali ikiwa ni pamoja na mavazi, mitindo na michezo ya kuigiza.

Na baada ya hapo jioni kuanzia saa mbili usiku kutakuwa na hafla rasmi ya usiku "Tanzania Muungano Night" ambapo wote mnaalikwa bila kukosa na bila kuchelewa katika ukumbi wa Matnice Events and Conference Center 7925 Central Avenue Capital Heights Md 20743. Wageni rasmi ni kutoka pande mbili za muungano ambao Mh. Mwigulu Nchemba (Mbunge na naibu waziri wa fedha na Uchumi Tanzania bara na upande wa Zanzibar atakuwepo Mh. Dr.Mwinyihaji Makame mwakilishi na waziri wa nchi ofisi ya rais ambaye pia ni 

Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Zanzibar na watawasili kuanzia Ijumaa hapa Washington Dc. Wageni kutoka serikali ya Marekani ni balozi Donald Tate Boum naibu waziri wa mambo ya nje anayeshughulikia masuala ya Afrika pamoja na viongozi wa biashara na viongozi wa mabalozi kutoka kila kanda.

Shughuli ya usiku itaanza saa mbili kamili mpaka Liamba ambayo kutakuwa na vyakula vya kila aina kwa ajili yako hakuna kiingilio wala malipo ya chakula ila katika upande wa vinywaji ni mfuko wako tu kunywa unachotaka alisisitiza balozi. Kutakuwa na waigizaji, waimbaji , ngonjera , muziki na kila aina ya burudani na siku ya Jumapili itakamilishwa na kabumbu "Muungano soccer tournament" kuanzia saa tisa alasiri huko Fairland recreational Park 3928 Green castle Rd, Fairland Md 20866.

Timu ya Zanzibar Heroes ya DMV ambayo itapambana na Kilimanjaro stars ya DMV na balozi atafungua mechi hiyo kwa kupiga mpira na ameahidi atafunga goli , aidha Mh.balozi amesema michezo ni mingi ikiwa ni pamoja na kuvuta kambi n.k na kuwaomba wakazi wa DMV na familia zao wajitokeze kwa wingi. Washindi watapata medali na vikombe aliongeza balozi akisema "hamtatoka mikono mitupu na nyama choma ni za kutosha sana zitakuwepo zikiongozwa na wanajumuiya wa DMV wenyewe".

WAZIRI MKUU MSTAAFU CLEOPA MSUYA ASTAAFU SIASA, RAIS JK AMPONGEZA


Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akiwa viongozi wengine wakuu wa serikali chama cha Mapinduzi CCM, akiwemo Katibu Mkuu wa CCM Taifa, katika hafla ya kumuaga aliyekuwa Waziri mkuu wa Tanzania mara mbili katika awamu mbili tofauti, Mzee Cleopa David Msuya (wa kwanza kulia kwa Rais) ambaye amestaafu rasmi siasa baada ya kuitumikia kwa zaidi ya miaka 33.

UTAFITI:WANANCHI WANAUNGA MKONO RASIMU YA KATIBA YA WARIOBA


Utafiti uliofanywa hivi karibuni na Taasisi ya Twaweza umebainisha kuwa wananchi wanaunga mkono kwa kiwango kikubwa Rasimu ya Katiba iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyokuwa ikiongozwa na Jaji Joseph Warioba.

Ripoti ya utafiti huo uliofanyika Februari, mwaka huu kwa njia ya simu za mkononi na watu kuulizwa kuhusu mchakato wa Katiba, inaeleza kuwa kama wananchi wangeipigia kura rasimu hiyo mwezi huo, Katiba hiyo ingepitishwa kwa asilimia 65 Zanzibar na asilimia 62 Tanzania Bara.

Akiwasilisha ripoti hiyo jana, Mtafiti wa Twaweza, Elvis Mushi alisema kati ya watu waliohojiwa upande wa Tanzania Bara, asilimia 20 wangepiga kura ya hapana, kwa upande wa Zanzibar watu ambao wangesema hapana wangekuwa asilimia 19.

“Watu ambao walisema hawana uhakika na hawajui lolote kwa upande wa Zanzibar ni asilimia 19 na Tanzania Bara asilimia 15,” alisema.

“Zaidi ya asilimia 60 ya wapiga kura kutoka Tanzania Bara na Zanzibar walisema wana nia ya kupiga kura ya kuikubali Katiba (rasimu) kama ilivyo sasa.”

Muundo wa Serikali

Kuhusu muundo wa Serikali, Mushi alisema: “Asilimia 80 ya Wazanzibari wanaunga mkono muundo wa serikali tatu. Kwa Tanzania Bara wanaounga mkono serikali tatu ni asilimia 43.”

Alisema takwimu hizo ni tofauti na zilizotolewa miezi minane iliyopita ilipotolewa Rasimu ya Kwanza ya Katiba, ambayo asilimia 51 ya wananchi wa Tanzania Bara walipendekeza muundo wa serikali tatu.

Alisema baada ya kutolewa kwa Rasimu mbili za Katiba (ya kwanza na ya pili), Wazanzibari wanataka uhuru zaidi wa kujitawala au muungano wa serikali tatu, huku wananchi kutoka Tanzania Bara wakigawanyika nusu kwa nusu juu ya muundo wa serikali wanaoutaka

Thursday, March 27, 2014

Vita dhidi ya Polio vimefaulu duniani

 
Katika baadhi ya nchi kama Pakistan, wahudumu hupigwa risasi wanapotoa chanjo dhidi ya Polio
Shirika la afya duniani WHO limetangaza kuwa asilimia themanini ya watu wote duniani wako salama kutoka kwa ugonjwa wa kupooza au Polio.
Hii ni kutokana na kutokuwepo visa vipya vya ugonjwa huo nchini India katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
WHO linasema kuwa ugonjwa huo umeangamizwa eno zima la kusini mashariki mwa Asia likiwemo taifa la India.
Tangu miaka ya tisini kampeni kubwa ya kutoa chanjo dhidi ya ugonjwa wa polio imeendeshwa nchini India ambapo watoto milioni mia moja na sabini wamepata chanjo.
Hali hii inaonekana kuwa ushindi mkubwa kwenye vita dhidi ya ugonjwa huo hatari.
Hata hivyo ugonjwa wa Polio ambao unaweza kusababisha ulemavu unaendelea kuripotiwa nchini Pakistan, Afghanistan na Nigeria.

Obama akutana na Papa Francis


Papa Francis akutana na Obama
Rais Barrack Obama wa Marekani anakutana na na kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, katika makao yake makuu huko Vatican.
Hii ni mara ya kwanza kwa Obama kukutana na papa Francis.
Rais Obama ameelezea furaha yake ya kukutana na papa mtu ambaye kulingana naye anaishi na kutenda kulingana na injili anayoihubiri.
Maswala mbali mbali yenye umuhimu wa kimataifa pamoja na kidini huenda yakajadiliwa katika mkutano huo.
Wawili hao wanatarajiwa kujadili namna ya kupunguza tofauti iliyopo kati yao katika maswala mengi mbali na kujaribu kuinua maisha ya watu maskini duniani.
Papa Francis amekuwa mstari wa mbele akipigania kubadili sera na mtazamo wa Kanisa na viongozi duniani kuhusiana na mikakati ya kupunguza tofauti kubwa baina ya maskini na matajiri duniani .
Aidha viongozi hao wawili wanatazamiwa kujadili hali ilivyo Nchini Ukraine, na swala la upatikanaji wa amani mashariki ya kati.
Mwafaka baina ya mitazamo tata ya wawili hao kuhusiana na maswala ya uavyaji mimba, matumizi ya dawa za kupanga uzazi na ndoa ya jinsia moja pia inatarajiwa kuwa kati ya mada itakayojadiliwa .
Baada ya kukutana na papa rais Obama ameratibiwa kukutana na rais wa Italia Giorgio Napolitano mbali na waziri wake mkuu Matteo Renzi.
Obama amezuru Roma baada ya siku tatu ya mazungumzo na viongozi wa Uholanzi na Umoja wa ulaya huko Brussels ambapo mada kuu ilikuwa ni taharuki inayokumba eneo zima la Crimea na Ukraine
baada ya Urusi kutuma vikosi vya jeshi lake katika jimbo hilo .
Obama tayari ameanza kuandaa mikakati na vikwazo zaidi dhidi ya Urusi kwa kuingia Ukraine.
Obama ameambatana na waziri wake wa maswala ya kigeni John Kerry.

Siku 3 kuomboleza waliozama Ziwa Albert

 
Wakimbizi wa DRC walikuwa wanatoka kambini Uganda kuelekea nyumbani DRC
Maafisa wa utawala katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo wametangaza siku tatu kuomboleza wakimbizi waliofariki katika ajali ya boti katika ziwa Albert siku ya Jumamosi.
Boti hiyo, ilikuwa inawasafirisha wakimbizi wa DRC kutoka nchini Uganda wakirejea nchini mwao.
Inaarifiwa boti hiyo ilikuwa imebeba abiria zaidi ya inavyoweza kumudu na maafisa wanasema kuwa zaidi ya watu miambili hamsini waliOkuwa wameabiri boti hiyo walizama.
Serikali ya Uganda ilisema kuwa iliweza kupata maiti 107 ikiwemo watoto 57 baada ya bnoti hiyo kuzama. Wote walikuwa wanatarajiwa kufika salama nyumbani DRC.
Walikuwa wanaishi katika kambi za wakimbizi nchini Uganda na inaarifiwa watu 300 walikuwa wameabiri boti hiyo illipozama.

Friday, March 21, 2014

Bunge kurekebisha rasimu ya katiba TZ

Bunge la Tanzania mjini Dodoma
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuzindua rasmi shughuli za bunge la kitaifa kuhusu marekebisho ya katiba mjini Dodoma katika hatua itakayoanzisha rasmi mjadala wa kitaifa kuhusu marekebisho hayo.
Bunge hilo maalum la katiba limepewa kati ya siku 70 hadi 90 kujadili rasimu ya katiba na kisha kuifanyia marekebisho kabla ya kura ya maamuzi.
Kuna ripoti kwamba baadhi ya wajumbe kutoka upinzani na mashirika ya kiraia yanapanga kuvuruga shughuli hiyo ya uzinduzi.
Suala la hotuba ya Rais Kikwete limekuwa sehemu ya mjadala katika Bunge hilo kutokana na baadhi ya wajumbe kuhoji sababu za Jaji Warioba kuwasilisha Rasimu kabla ya Rais kuzindua Bunge kwa mujibu wa kanuni.
Mjadala huo uliwafanya baadhi ya wajumbe kumzuia Jaji Warioba Jumatatu iliyopita kuwasilisha rasimu hiyo kama ilivyokuwa imepangwa.
Kikao cha maridhiano kilifanyika siku hiyohiyo usiku na kufikia mwafaka kwamba Mwenyekiti huyo wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba awasilishe Rasimu ndiposa Rais aweze kuzindua shughuli ya kujadili rasimu hiyo kabla ya kura ya maoni.

Bunge kurekebisha rasimu ya katiba TZ

Bunge la Tanzania mjini Dodoma
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuzindua rasmi shughuli za bunge la kitaifa kuhusu marekebisho ya katiba mjini Dodoma katika hatua itakayoanzisha rasmi mjadala wa kitaifa kuhusu marekebisho hayo.
Bunge hilo maalum la katiba limepewa kati ya siku 70 hadi 90 kujadili rasimu ya katiba na kisha kuifanyia marekebisho kabla ya kura ya maamuzi.
Kuna ripoti kwamba baadhi ya wajumbe kutoka upinzani na mashirika ya kiraia yanapanga kuvuruga shughuli hiyo ya uzinduzi.
Suala la hotuba ya Rais Kikwete limekuwa sehemu ya mjadala katika Bunge hilo kutokana na baadhi ya wajumbe kuhoji sababu za Jaji Warioba kuwasilisha Rasimu kabla ya Rais kuzindua Bunge kwa mujibu wa kanuni.
Mjadala huo uliwafanya baadhi ya wajumbe kumzuia Jaji Warioba Jumatatu iliyopita kuwasilisha rasimu hiyo kama ilivyokuwa imepangwa.
Kikao cha maridhiano kilifanyika siku hiyohiyo usiku na kufikia mwafaka kwamba Mwenyekiti huyo wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba awasilishe Rasimu ndiposa Rais aweze kuzindua shughuli ya kujadili rasimu hiyo kabla ya kura ya maoni.

Bunge kurekebisha rasimu ya katiba TZ

Bunge la Tanzania mjini Dodoma
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuzindua rasmi shughuli za bunge la kitaifa kuhusu marekebisho ya katiba mjini Dodoma katika hatua itakayoanzisha rasmi mjadala wa kitaifa kuhusu marekebisho hayo.
Bunge hilo maalum la katiba limepewa kati ya siku 70 hadi 90 kujadili rasimu ya katiba na kisha kuifanyia marekebisho kabla ya kura ya maamuzi.
Kuna ripoti kwamba baadhi ya wajumbe kutoka upinzani na mashirika ya kiraia yanapanga kuvuruga shughuli hiyo ya uzinduzi.
Suala la hotuba ya Rais Kikwete limekuwa sehemu ya mjadala katika Bunge hilo kutokana na baadhi ya wajumbe kuhoji sababu za Jaji Warioba kuwasilisha Rasimu kabla ya Rais kuzindua Bunge kwa mujibu wa kanuni.
Mjadala huo uliwafanya baadhi ya wajumbe kumzuia Jaji Warioba Jumatatu iliyopita kuwasilisha rasimu hiyo kama ilivyokuwa imepangwa.
Kikao cha maridhiano kilifanyika siku hiyohiyo usiku na kufikia mwafaka kwamba Mwenyekiti huyo wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba awasilishe Rasimu ndiposa Rais aweze kuzindua shughuli ya kujadili rasimu hiyo kabla ya kura ya maoni.

RAIS KIKWETE AHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA

Rais Jakaya Kikwete.
Rais Kikwete ameanza kulihutubia Bunge Maalum la Katiba kutokana na mwaliko wa Mwenyekiti wa Bunge hilo, Mheshimiwa Samuel Sitta!

Thursday, March 20, 2014

Kenya yatoa uzoefu kwa Bunge la TZ


Bunge la Tanzania likiwa kwenye vikao vyake
Ujumbe maalum kutoka nchini Kenya umehutubia wajumbe wa Bunge la Katiba nchini Tanzania kuelezea uzoefu wao kuhusu mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya nchini Kenya ulivyofanyika.
Akizungumza na Wajumbe wa Bunge maalum la katiba, Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Kenya,Amos Wako ameainisha masuala ya msingi ya kuzingatia katika upatikanaji wa Katiba mpya ya Tanzania.
Bwana Wako ameeleza uzoefu wake wa upatikanaji wa katiba ikizingatiwa kuwa wakati mchakato wa kupata katiba mpya nchini Kenya alikuwa miongoni mwa watendaji wakuuu wa mchakato huo akiwa mwanasheria mkuu wa serikali.
Bwana Wako amewataka wajumbe wa bunge maalum la katiba nchini Tanzania kuzingatia historia, utamaduni na matakwa ya watanzania.
Wako amesema kuwa baada ya machafuko ya nchini Kenya na jumuia ya kimataifa kuingilia kati, mapendekezo yaliyotolewa na kamati ya usuluhishi iliyoongozwa na katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Koffi Annan yaliona kuwa suala la kupata Katiba mpya nchini Kenya, lichukuliwe kuwa suala la Haraka na dharura.
Semina hii kwa Wajumbe wa Bunge la katiba imekuja wakati Rais wa Tanzania Jakaya kikwete akitarajiwa kufungua rasmi Bunge maalum la Katiba siku ya Ijumaa mjini Dodoma katikati mwa Tanzania.

Bunge kurekebisha rasimu ya katiba TZ

 
Rais Jakaya Kikwete
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuzindua rasmi shughuli za bunge la kitaifa kuhusu marekebisho ya katiba mjini Dodoma katika hatua itakayoanzisha rasmi mjadala wa kitaifa kuhusu marekebisho hayo.
Bunge hilo maalum la katiba limepewa kati ya siku 70 hadi 90 kujadili rasimu ya katiba na kisha kuifanyia marekebisho kabla ya kura ya maamuzi.
Kuna ripoti kwamba baadhi ya wajumbe kutoka upinzani na mashirika ya kiraia yanapanga kuvuruga shughuli hiyo ya uzinduzi.
Suala la hotuba ya Rais Kikwete limekuwa sehemu ya mjadala katika Bunge hilo kutokana na baadhi ya wajumbe kuhoji sababu za Jaji Warioba kuwasilisha Rasimu kabla ya Rais kuzindua Bunge kwa mujibu wa kanuni.
Mjadala huo uliwafanya baadhi ya wajumbe kumzuia Jaji Warioba Jumatatu iliyopita kuwasilisha rasimu hiyo kama ilivyokuwa imepangwa.
Kikao cha maridhiano kilifanyika siku hiyohiyo usiku na kufikia mwafaka kwamba Mwenyekiti huyo wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba awasilishe Rasimu ndiposa Rais aweze kuzindua shughuli ya kujadili rasimu hiyo kabla ya kura ya maoni.

UTABIRI WA TB JOSHUA KUHUSU KUPATIKANA KWA NDEGE YA MALAYSIA WAANZA TIMIA


Kama week sasa imepita Muhubiri na Mtabiri mkubwa wa Nchini Nigeria alitabiri kuwa Ndege ya Malaysia iliyopotea muda si mrefu wataipata ikiwa chini ya maji na wataanza kuona mabaki ya ndege yakielea juu ya maji ..Sasa leo habari mpya kuhusu ndege hiyo ni kuwa Huku Nchini Australia yameonekana mabaki ya ndege kwa njia ya Setelite ambayo bado yanafanyiwa uchunguzi kama ni ya ndege hiyo ..Habari kamali soma hapa chini:

"The Malaysian prime minister has confirmed that there is a new lead in the investigation into the missing Malaysia Airlines flight MH370.
Australian search aircraft are investigating two objects spotted by satellite floating in the southern Indian Ocean that could be debris from a Malaysian jetliner missing with 239 people on board, Prime Minister Tony Abbott said on Thursday.

"I can confirm we have a new lead," Malaysian Transport Minister Hishammuddin Hussein told reporters in Kuala Lumpur, where the investigation into the missing airliner is based.

"I am meeting the Australian delegation now," he added. we are waiting for some information."

Another official in Malaysia said investigators were "hopeful but cautious" about the Australian discovery. The satellite images were being reviewed and they were awaiting visual confirmation, the source said.

No confirmed wreckage from Malaysia Airlines Flight MH370 has been found since it vanished from air traffic control screens off Malaysia's east coast early on March 8, less than an hour after taking off from Kuala Lumpur for Beijing.

"New and credible information has come to light in relation to the search for Malaysia Airlines Flight MH370 in the southern Indian Ocean," Abbott told the Australian parliament.

"The Australian Maritime Safety Authority (AMSA) has received information based on satellite imagery of objects possibly related to the search."

"Following specialist analysis of this satellite imagery, two possible objects related to the search have been identified," he said.

Abbott said he had already spoken with his Malaysian counterpart Najib Razak and cautioned that the objects had yet to be identified.

"The task of locating these objects will be extremely difficult and it may turn out they are not related to the search for MH370," Abbott

JK AKAMIWA BUNGENI POLISI WAONGEZWA KUKABILI KUNDI LILILOPANGA KUMZOMEA

SERIKALI imeongeza idadi ya askari bungeni baada ya kubainika kuwa kuna njama zimepangwa na kundi la baadhi ya wajumbe kutaka kumzomea Rais Jakaya Kikwete, Tanzania Daima limedokezwa.

Habari ambazo gazeti hili limezipata, zilidai kuwa kundi hilo litamzomea Rais Kikwete wakati wa kulihutubia Bunge endapo tu atazungumzia msimamo wa Chama chake Cha Mapinduzi (CCM) wa kutaka serikali mbili na kupingana na maoni ya wananchi waliyoyatoa kupitia Tume ya Mabadiliko ya Katiba, chini ya Jaji Joseph Warioba, wanaopendekeza muundo wa serikali tatu.

Ingawa haijajulikana ni kundi gani la wajumbe wanaopanga njama hizo, lakini wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), unanyoshewa kidole kwamba ndio wanaohusika na mkakati huo

BAADA YA WEZI KUMLIZA H BABA WAANZA KUVUJISHA WIMBO


Msanii wa muziki wa kizazi kipya H Baba amewalalamikia wezi waliomwibia vitu kwenye gari lake kwa kusambaza moja kati ya nyimbo zake ambazo bado hajawahi kuziachia, H Baba ametoa ombi kwa wezi hao warudishe flash disk yake tu na vitu vingine wachukue.

BONTA AUNGA MKONO MAPENDEKEZO YA RASIMU YA KATIBA YALIYOWASILISHWA NA JAJI WARIOBA

Wakati rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete anatarajia kuhutubia bunge la katiba Dodoma kesho pamoja na kuzindua rasmi bunge la katiba, kauli ya mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba aliyoitoa bungeni hivi karibuni imeungwa mkono na msanii wa kizazi kipya Bonta.
Mwenyekiti Jaji Warioba alisema maoni ya wananchi anataka serikali tatu, serikali ya Zanzibar, serikali ya Zanzibar na serikali ya Muungano…Bonta huyu hapa.

TAARIFA ZAIDI YA SHABIKI WA YANGA ALIYEFIA UWANJANI KATIKA MECHI YA YANGA NA AZAM HAPO JANA

 
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, shabiki mmoja aliyedaiwa kuwa wa timu ya Yanga amefariki dunia jioni ya jana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam wakati timu hiyo ilipokuwa inacheza na timu ya Azam.
Shabiki huyo alizimia uwanjani mara baada ya Yanga kupata bao lake la kwanza lililofungwa na Didier Kavumbagu. Hata hivyo wasamaria wema walimbeba shabiki huyo na kisha kuwekwa kwenye machela na kupelekwa katika vyumba vya huduma ya kwanza.
Muda mchache baadae vipaza sauti vya Uwanja wa Taifa vilisikika vikitangaza kwamba kuna mtu amezimia na kama kuna ndugu au mtu yoyote wa karibu na mtu huyo ajitokeze. Taarifa zimeeleza kuwa mtu huyo amefariki akiwa katika chumba cha huduma ya kwanza na kupelekwa katika hospitali ya Temeke.
Katika mchezo huo ambao Yanga walianza kupata bao katika kipindi cha kwanza dakika ya 14. Hata hiyvo Azam ilipambana vikali na kurudisha bao katika kipindi cha pili ikiwa ni dakika ya 82 wakiwa wachezaji kumi baada ya Erasto Nyoni kutolewa kwa kadi nyekundu kwa kosa la kumtukana muamuzi.

Saturday, March 15, 2014

OFFICIAL: MALAYSIAN INVESTIGATORS CONCLUDE MISSING AIRLINER HIJACKED!

Malaysia's Minister of Transport Hishamuddin Hussein, center, Azharuddin Abdul Rahman, director general of the Malaysian Department of Civil Aviation, left and Malaysia Airlines Group CEO Ahmad Jauhari Yahya, right, listen to questions from the media during a press conference regarding missing Malaysia Airlines jetliner MH370, Friday, March 14, 2014 in Sepang, Malaysia.Wong Maye-E, AP
The last known position of MH370 was pinpointed as it headed east over the Peninsular Malaysia. Rada pings then suggest the plane could have then taken two paths along 'corridors' which are currently being searched. The northern corridor extends from northern Thailand to the Kazakstan-Turkmenistan border, while the south extends from Indonesia into the southern Indian Ocean.
Conclusion: Malaysian officials say flight MH370 could have been hijacked by one or several people with flying experience and deliberately diverted.
KUALA LUMPUR, Malaysia -- Malaysia's prime minister says the disappearance of Malaysia Airlines Flight 370 appears to be "deliberate."
Speaking to the press early Saturday, Prime Minister Najib Razak said the investigation has refocused onto the crew and passengers aboard the missing plane. He added that despite growing evidence to suggest a possible hijacking or sabotage, all possibilities are still being investigated.
The prime minister also said that authorities are now trying to trace the plane across two possible "corridors" -- a northern corridor from northern Thailand through to the border of Kazakstan and Turkmenistan, and a southern corridor from Indonesia to the southern Indian Ocean -- and that search efforts in the South China Sea would be ended.

"Clearly the search for MH370 has entered a new phase," he said.

Earlier, a Malaysian government official who is involved in the investigation said investigators have concluded that one of the pilots or someone else with flying experience hijacked the missing Malaysia Airlines jet.
The official said no motive has been established, and it is not yet clear where the plane was taken. The official spoke on condition of anonymity because he was not authorized to brief the media.

The official said that hijacking was no longer a theory. "It is conclusive."

The Boeing 777's communication with the ground was severed under one hour into a flight March 8 from Kuala Lumpur to Beijing with 239 aboard. Malaysian officials have said radar data suggest it may have turned back and crossed back over the Malaysian peninsula westward, after setting out toward the Chinese capital.

Piracy and pilot suicide have been among the scenarios under study as investigators grew increasingly certain the missing Malaysia Airlines jet reversed course and headed west after its last radio contact with air traffic controllers.The latest evidence suggests the plane didn't experience a catastrophic incident over the South China Sea as was initially suspected. Some experts had theorized that one of the pilots, or someone else with flying experience, hijacked the plane or committed suicide by plunging the jet into the sea.

A U.S. official said Friday in Washington that investigators were examining the possibility of "human intervention" in the plane's disappearance, adding it may have been "an act of piracy." The official, who wasn't authorized to talk to the media and spoke on condition of anonymity, said it also was possible the plane may have landed somewhere.

The official said key evidence suggesting human intervention was that contact with the Boeing 777's transponder stopped about a dozen minutes before a messaging system on the jet quit. Such a gap would be unlikely in the case of an in-flight catastrophe.

A Malaysian official, who also declined to be identified because he is not authorized to brief the media, said only a skilled aviator could navigate the plane the way it was flown after its last confirmed location over the South China Sea. The official said it had been established with a "more than 50 percent" degree of certainty that military radar had picked up the missing plane after it dropped off civilian radar.

Earlier Malaysia's acting transport minister, Hishammuddin Hussein, had said investigators were still trying to establish with certainty that military radar records of a blip moving west across the Malay Peninsula into the Strait of Malacca showed Flight MH370.

"I will be the most happiest person if we can actually confirm that it is the MH370, then we can move all (search) assets from the South China Sea to the Strait of Malacca," he told reporters. Until then, he said, the international search effort would continue expanding east and west from the plane's last confirmed location.

Two communication systems on Malaysia Airlines Flight 370 were shut down separately in the moments before the flight disappeared from radar on Saturday; a data system and two transponders which relayed information about the jet's speed, altitude and location, CBS News' Bob Orr reported.

While a cascading electrical problem could feasibly cause that kind of staged electrical failure, Orr said it's also entirely possible somebody on the plane intentionally turned off the systems. And investigators say there's further evidence suggesting the jet did not crash immediately after being lost on radar; a transmitter on the plane tried for another four hours to ping satellites. That's an indication to analysts that the jet continued to fly for some time -- possibly as far as 2,500 miles from where it was last detected.

Sources say it is also possible that the plane may have spend some of that time on the ground with its engines still running.

Officials have told CBS News the plane had enough fuel to carry it out to the west into the Indian Ocean, so the search is growing even larger. While they believe it likely crashed in water, it is also possible landed somewhere.

Sources told the Reuters news agency on Friday, meanwhile, that the path Flight 370 appears to have taken after diverting from its intended route strongly suggests that a trained pilot was still in control of the aircraft.

The news agency said investigators believe the missing jet appeared to follow a known air navigational route, based on the radar blips seen by the Malaysian military.

That would have taken the plane into the Andaman Sea and toward the Indian Ocean, and according to Reuters, "could only have been set deliberately, either by flying the Boeing 777-200ER jet manually or by programming the auto-pilot." Reuters cited another source as saying the official investigation was increasingly focused on the possibility that someone with training as a pilot deliberately diverted the flight.

"What we can say is we are looking at sabotage, with hijack still on the cards," a senior Malaysian police official told Reuters.

The New York Times, quoting American officials and others familiar with the investigation, reported on Friday that the flight altered its course more than once after it lost contact with ground control and that it made significant changes in altitude. The Times said radar signals appear to show the airplane climbing to 45,000 feet and making a sharp turn to the west. That altitude is above the approved limit for a Boeing 777-200.

Then, the Times reported, the plane descended unevenly to an altitude of 23,000 feet, below normal cruising levels, as it approached the island of Penang, where it climbed again and flew northwest toward the Indian Ocean.

Boeing offers a satellite service that can receive a stream of data on how an aircraft is functioning in flight and relay the information to the plane's home base. Malaysia Airlines didn't subscribe to that service, but the plane still had the capability to connect with the satellite and was automatically sending signals, or pings, said the U.S. official, who spoke on condition of anonymity because he wasn't authorized to discuss the situation by name.
The signal, called a "handshake" does not transmit data, but just tells the satellite that the plane is still in the sky. Once an hour for four or five hours, the plane communicated with a satellite, according to a U.S. official speaking on background. Then the communication stopped - the plane either crashed on land or in the water, or it landed somewhere and turned off the engines.

The communications back and forth do not give a specific location for the plane. But they indicate the direction the satellite would have to tilt its antenna to find the plane though not where on that arc the plane would be.

Scores of aircraft and ships from 12 countries are involved in the search, which reaches into the eastern stretches of the South China Sea and on the western side of the Malay Peninsula, northwest into the Andaman Sea and the Indian Ocean.

CBS News national security correspondent David Martin reports that the USS Kidd has been assigned a search area in the Andaman Sea both east and west of the Andaman Islands. The P-8, which was scheduled to fly its first mission Friday tonight, will cover a grid that stretches west to the southern part of the Bay of Bengal.

India said it was using heat sensors on flights over hundreds of Andaman Sea islands Friday and would expand the search for the missing jet farther west into the Bay of Bengal, about 1,000 miles to the west of the plane's last known position.

A team of five U.S. officials with air traffic control and radar expertise - three from the U.S. National Transportation Safety Board and two from the Federal Aviation Administration - has been in Kuala Lumpur since Monday to assist with the investigation.

White House spokesman Jay Carney sidestepped questions Friday about the possibility of human intervention in the plane disappearance, saying only that U.S. officials were assisting in the investigation.

"I don't have conclusive answers and I don't think anyone does," Carney said.

Malaysia has faced accusations it isn't sharing all its information or suspicions about the plane's final movements. It insists it is being open, and says it would be irresponsible to narrow the focus of the search until there is undeniable evidence of the plane's flight path.

At this point, there is no evidence of any wrongdoing on the part of the two pilots, though Malaysian police have said they are looking at their psychological background, their family life and connections.

Zaharie Ahmad Shah, 53, and Fariq Abdul Hamid, 27, have both been described as respectable, community-minded men.

Zaharie joined Malaysia Airlines in 1981 and had more than 18,000 hours of experience. His Facebook page showed an aviation enthusiast who flew remote-controlled aircraft, posting pictures of his collection, which included a lightweight twin-engine helicopter and an amphibious aircraft.

Fariq was contemplating marriage after having just graduated to the cockpit of a Boeing 777. He has drawn the greatest scrutiny after the revelation that in 2011, he and another pilot invited two women boarding their aircraft to sit in the cockpit for a flight from Phuket, Thailand, to Kuala Lumpur.

Mike Glynn, a committee member of the Australian and International Pilots Association, said he considers pilot suicide to be the most likely explanation for the disappearance, as was suspected in a SilkAir crash during a flight from Singapore to Jakarta in 1997 and an EgyptAir flight in 1999.

"A pilot rather than a hijacker is more likely to be able to switch off the communications equipment," Glynn said. "The last thing that I, as a pilot, want is suspicion to fall on the crew, but it's happened twice before." Glynn said a pilot may have sought to fly the plane into the Indian Ocean to reduce the chances of recovering data recorders, and to conceal the cause of the disaster.

Meanwhile, according to the South China Morning Post, Chinese scientists reported they had detected a small "seismic event" on the sea floor between Vietnam and Malaysia - where the plane was located at the approximate time that it disappeared last Saturday.

However, Paul Caruso of the U.S. Geological Survey told USA Today that it was "unlikely" that a plane crash would be strong enough to produce the reported seismic event.

Dondoo za ligi kuu ya Premier


Klabu ya Manchester City, imejifaidi nafasi ya kumsajili mchezaji wa miaka 16 Feyenoord Rodney Kongolo kiungo cha kati, ambaye amelingishwa na mchezaji wa zamani wa Arsenal Patrick Vieira.

Liverpool wako makini kutaka kumsajili mlinzi wa Barcelona Adriano,mwenye umri wa miaka 29, kwa kima cha pauni milioni 6 wakinuia kukomesha masaibu yao.

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho anadhani kuwa difenda Ryan Bertrand, mwenye umri wa miaka 24,bado ana mustakabali mwema Stamford Bridge licha ya kusajiliwa na Aston Villa kwa mkopo.

Tottenham Hotspur wanatafuta njia ya kusajili wachezaji mahiri watatu msimu huu hasa baada ya baadhi ya wachezaji waliosajiliwa hivi karibuni kutofurahisha meneja. Klabu hiyo ilitumia pauni milioni 110 kusajili wachezaji saba wakiwemo Erik Lamela, Roberto Soldado, Paulinho,Étienne Capoue, Nacer Chadli na Vlad Chiriches. Mustakabili wa wachezaji hao katika klabu hiyo unasuasua.

Adebayor
Mshambulizi wa Tottenham Emmanuel Adebayor, mwenye umri wa miaka 30, anasema kuwa hatataka msukumo wowote atakaposhiriki mechi dhidi ya klabu yake ya zamani Arsenal Jumapili. Mchezaji huyo mzaliwa wa Togo alichezea Arsenal kwa miaka mitatu kati ya mwaka 2006 na 2009.

Mshambulizi wa New Castle Luuk de Jong, 23, ana matumaini ya kupata mkataba wa kudumu ,St James' Park wakati kipindi chake cha usajili kwa mkopo kitakapokwisha katika klabu ya Ujerumani Borussia Monchengladbach mwishoni mwa wiki hii.

Chelsea imejiimarisha baada ya kusaini mkataba na mchezaji Raia wa Brazil Hulk mwenye umri wa miaka 27 baada ya wakala mmoja kufichua kuwa mchezaji huyo wa Zenit ananuia kuhamia Uingereza.

Nani aliiba saa za Pistorius?

Oscar Pistorius mahakamani
Saa mbili za kifahari za Oscar Piatorius zilitoweka katika eneo la tukio la mauaji ya mpenzi wake, polisi mstaafu aliifahamisha mahakama inayosikiliza kesi ya mauaji dhidi ya mwanariadha huyo mlemavu.
Polisi huyo kwa jina Schoombie van Rensburg, aliambia mahakama kuwa alikasirishwa sana na kupotea kwa saa hizo na kwamba aliamuru polisi kukaguliwa.
Mahakama pia ilionyeshwa picha ya Pistorius ikiwa amevalia nguo iliyokuwa na damu.
Amekana madai ya kumuua mchumba wake Reeva Steenkamp mwaka jana akisema kuwa alifyatua risasi akidhani jambazi alikuwa amevamia nyumba yake.
Upande wa mashitaka umesema kuwa Pistorius alimuua mchumba wake kwa maksudi baada ya wawili hao kuwa na ugomvi wa kinyumbani mwaka jana.
Kesi hiyo itaendelea kusikilizwa Jumatatu.

West Brom yamtimua Nicolas Anelka


Nicolas Anelka
Mchezaji wa klabu ya soka ya West Brom, Nicolas Anelka amefutwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu.
Klabu hiyo iliamua kuchukua hatua hiyo baada ya Anelka kutangaza kupitia mtandao wa kijamii kuwa anaacha kazi.
Anelka alisema kuwa anaondoka katika klabu hiyo baada ya kukosa kutatua tofauti zilizopo kati yake na Albion kuhusu ishara yake yenye utata ambayo inasemekana kuwa ya kibaguzi dhidi ya wayahudi.
Mshambuluaji huyo mwenye umri wa miaka 35, alipigwa marufuku kutocheza mechi tano na kutozwa faini ya pauni 80,000 na shirikisho la soka Uingereza ,kwa kufanya ishara hiyo, baada ya kuingiza bao dhidi ya klabu ya West Ham mwezi Disemba.
West Brom imechukua hatua ya kumfuta kazi Anelka kutokana na ishara hiyo na pia kwa sababu ya matamshi yake kwenye mtandao wa kijamii.
Ishara hii inapigiwa debe na msanii wa Ufaransa Diedonne M'bala M'bala
Awali aliachishwa kazi mwa muda na Albion, wakati klabu hiyo ilipokuwa inafanya uchunguzi wake binafsi.
Mapema siku ya Ijumaa, Anelka alitangaza kwenye mitandao ya kijamii kuwa anaondoka katika klabu hiyo.
Aliandika: "kufuatia mazungumzo kati yangu na maafisa wa klabu, kuna masharti kadhaa ambayo wamenipa kabla ya kujiunga tena na klabu hiyo, Masharti ambayo siwezi kuyakubali.''
Hata hivyo klabu ilisema kuwa masharti yaliyotolewa kwa Anelka ni pamoja na kumtaka awaombe msahama mashabiki , wadhamini na jamii kwa ujumla kwa athari iliyotokana na ishara yake aliyoifanya Disemba tarehe 28 na pili akubali kutozwa faini.

Wasiwasi wa Facebook kuhusu udukuzi

 
Mark Zuckerberg
Mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg amesema kuwa amezungumza na Rais Barack Obama kumwelezea kero lake kuhusu udukuzi unaofanywa na serikali kwa mitambo ya Dijital.
Zuckerberg mwenye umri wa miaka 29, amesema kuwa serikali ya Marekani inapaswa kupigia debe internet badala ya kuwa adui wa mitandao ya kijamii.
Matamshi yake yanakuja siku moja baada ya ripoti kuwa shirika la ujasusi la Marekani ilibuni mtandao bandia wa Facebook ili kuweza kuvamia mitambo ya Kompyuta inayotumiwa kwa uchunguzi.
Shirika la NSA lilisema kuwa taarifa hiyo sio ya kweli.
Mnamo mwezi Septemba, Zuckerberg alisema kuwa Marekani ilikosea sana taarifa zilipoibuka kuwa inafaya udukuzi kwenye mitandao.
Mwanateknolojia huyo alisema kuwa huenda ikachukua muda mrefu sana kwa mageuzi yoyote kufanyika.
Zuckerberg alisema, alisema "wakati wahandisi wetu wanapofanya kila hali kuboresha usalama kwenye mtandao, kwetu ni kama tunawalinda kutokana na wahalifu kwenye mitandao, sio serikali yetu.''
"Serikali ya Marekani lazima ipigie debe Internet sio kuwa adui wa mtandao. Lazima waelezee wanachokifanya la sivyo, watu hawatakuwa na imani tena na serikali.''
Shughuli za shirika la ujasusi la Marekani lilijipata motoni baada ya ufichuzi kutolewa na aliyekuwa jasusi wakati mmoja Edward Snowden, mwaka jana.
Ufichuzi wake ulionyesha kuwa shirika hilo lilikuwa linakusanya taarifa za simu za watu, kufanya udukuzi na kuvamia mitandao ya watu.

Jasusi wa zamani Rwanda jela miaka 25


Simbikangwa alikuwa mkuu wa ujasusi wa Rwanda wakati wa mauaji ya Kimbari
Mahakama nchini Ufaransa, imemhukumu kifungo cha miaka 25 jela jasusi mkuu za zamani wa Rwanda Pascal Simbikangwa kwa kuhusika na mauaji ya kimbari mwaka 1994.
Simbikangwa alipatikana na hatia ya kuhusika na mauaji hayo na kutenda uhalifu dhidi ya binadamu.
Alikabiliwa na makosa ya kuchochea , kupanga na kusaidia katika juhudi za mauaji ya watutsi hasa kwa kuwapa silaha wapiganaji wa kihutu waliokuwa wanalinda vizuizi vya barabarani na kuwaua wanaume wa kabila la Tutsi, wanawake na watoto.
Simbikangwa alikanusha madai hayo.
Haijuikani kama mawakili wa Simbikangwa watakata rufaa dhidi ya uamuzi huo.
Simbikangwa,mwenye umri wa miaka 54, anatumia viti vya magurudumu baada ya kuhusika na ajali mwaka 2008 alipokuwa anaishi katika kisiwa cha Mayotte.
Maelfu ya watutsi na wahutu waliuawa mwaka 1994
Ni mwanamume wa kwanza kuhukumiwa nchini Ufaransa kuhusiana na mauaji ya Kimbari Rwanda miaka 20 iliyopita.
Upande wa mashitaka uliitaka mahakama kumfunga jela maisha Simbikangwa, baada ya kumtaja kuwa mtu mkatili na ambaye anaweza kufanya mambo mabaya zaidi ya aliyofanya.
Mawakili wake hata hivyo walisema kuwa kesi hiyo ilishinikizwa zaidi kisiasa na kuwataja mashahidi kama wasioweza kuaminika na ambao walikuwa na chuki wakati wakitoa ushahidi wao.
Takriban watu 800,000 wengi wao wa kabila la Tutsi , waliuawa katika kipindi cha siku miamoja.

Al Shabaab washambulia Mogadishu


A Shabaab wametimuliwa kutoka Mogadishu ingwa wanaendeleza mashambulizi ya kuvizia
Bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari limelipuka nje ya hoteli katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Polisi wanasema watu wanne wamejeruhiwa katika shambulizi hilo.
Gari lililokuwa limeegeshwa kando ya barabara likiwa na mabomu yaliyotegwa ndani lililipuka karibu na hoteli ya Maka-al-Mukarama kati kati mwa Mogadishu.
Maafisa wa serikali walikuwa ndani ya hoteli wakati wa shambulizi hilo.
Msemaji wa serikali amesema kuwa shambulizi hilo lilifanywa na kundi la wanamgambo la Al Shabaab kama jibu lao kwa operesheni mpya iliyozinduliwa juzi na wanajeshi wa Muungano wa Afrika pamoja na majeshi ya Somalia dhidi ya wanamgambo hao.
Wanajeshi hao wamefanikiwa kukomboa miji sita kutoka kwa Al Shabaab katika siku chache zilizopita. Kundi hilo linadhibiti sehemu kubwa ya Kusini na eneo la Kati mwa Somalia.

Kero la usalama nchini Misri



Watu 18 wameuawa tangu kutokea milipuko mjini Cairo siku ya Ijumaa
Vikosi vya usalama vimewekwa katika hali ya tahadhari wakati ambapo mikutano miwili ya makundi hasimu nchini Misri ikitarajiwa kufanyika ili kuadhimisha miaka mitatau ya kuondolewa madarakati kwa rais wa zamani Hosni Mubarak.
Wafuasi wa aliyekuwa rais wa taifa hilo Mohammed Morsi pamoja na wale wa serikali inayoungwa mkono na jeshi wanatarajiwa kufanya maandamano katika miji mikubwa nchini humo.
Hali ya wasiwasi iliongezeka hapo jana baada ya misururu ya milipuko ya mabomu na ghasia katika maeneo tofauti nchini humo ambayo imesababisha vifo vya watu 18 huku wengine wakijeruhiwa.
Vuguvugu la Muslim Brotherhood limeshutumu milipuko hiyo lakini wapinzani wake wamelikosoa kundi kwa kuendeleza mashambulizi kama hayo.
Inaarifia wapiganaji wamezidisha mashambulizi dhidi ya utawala wa Misri, huku milipuko kadhaa ikisikika katika mji mkuu Cairo
Mashambulizi hayo yanatokea katika mkesha wa kuadhimisha mwaka wa tatu tangu kuondolewa mamlakani kwa aliyekuwa Rais Hosni Mubarak.

Wanajeshi sita wauawa Misri


Mwanajeshi akishika doria Misri
Watu wasiojulikana wamewashambulia wanajeshi waliokuwa wanashika doria katika kizuizi cha barabarani viungani mwa mji mkuu Misri.
Wanajeshi sita waliuawa.
Mabomu mawili yaliteguliwa karibu na kizuizi hicho.
Shambulizi hilo lilifanyika wakati wanajeshi walipokuwa wanasali na lilikuwa shambulizi la pili kufanyika katika kipindi cha siku tatu.
Mnamo siku ya Alhamisi, watu waliokuwa wamejifunika nyuso zao walishambulia basi la wanajeshi mjini Cairo na kumuua mwanajeshi mmoja wengine watatu wakijeruhiwa.
Jeshi limelaumu kundi lililopigwa marufuku la Muslim Brotherhood kwa kufanya mashambulizi hayo ingawa limekuwa likikanusha.

TANZANIA HOSTS HIGH-LEVEL DIALOGUE ON ECONOMIC INTEGRATION‏


The former president of Tanzania, Benjamin Mkapa (L) speaking to media in Dar es Salaam after finishing the High-level Dialogue which was organised by The Mandela Institute for Development Studies (MINDS) based in Johannesburg. (R) is the founder and Executive Chairman of MINDS, Dr. Nkosana Moyo. Picture by Cathbert Kajuna.
The former president of Tanzania, Benjamin Mkapa yesterday (14th March 2014) hosted various African thought leaders from trade, industry, political, civil society, consultants plus six former heads of state in an informal dialogue that discussed the pace of economic development in the continent.
Speaking to media in Dar es Salaam Mr. Mkapa said the one day High-level Dialogue was organised by The Mandela Institute for Development Studies (MINDS) based in Johannesburg and sought to address ways in which to make interaction between different sector leaderships more efficacious for African Development within countries and across the continent.
“We fully appreciate the fact that economic integration is a major driver of the development process in our countrys. We discussed at length various factors that drive this process forward. This is a totally informal dialogue by people that are concerned and interested in the pace of integration in Africa from obstacles, how we can overcome them and achievements we seek to find,” said Mr Mkapa.
Among those who took part in the closed door dialogue included six former Head of State and Government, namely former Presidents Joachim Chissano of Mozambique, Thabo Mbeki of South Africa, Festus Mogae of Botswana, Olusegun Obasanjo of Nigeria, Pedro Pires of Cape Verde, and Benjamin Mkapa of Tanzania.
They were joined by the President of the African Development Bank, Dr. Donald Kaberuka plus forty other distinguished invitees - former civil servants, CEOs, academics and some civic society thought leaders from various regions of the continent.
According to the founder and Executive Chairman of MINDS, Dr. Nkosana Moyo, the institution is an ‘Pan-African Think Tank’ born out of the realisation that Africa’s development efforts have a tardy impact, and that the dialogues can help Africa take ownership.
“The MINDS think tank was set up with the aim of creating a space/ platform to give sector leaders an opportunity to meet amongst ourselves and discuss issues of relevance to the development of the continent to identify any obstacles that are present and try to work out possible solutions to those obstacles,” Dr. Moyo said.
“In terms of the people that are invited to the dialogues, we include politicians, civil servants, private sector, civil society, women and youth. These stakeholders are involved in identifying obstacles to Africa’s economic development, trying to formulate response to the same and lobbying those currently running the continent to try and getting those policies formulated which are responsive to implementation of possible solutions,” he elaborated.
“Some of the issues addressed just to name a few, was the philosophy of economic integration since the Lagos plan of action, how far has been achieved since then to now, is the spirit still there? What can be done to give more momentum? We also went into the concept of development corridors in Africa for instance Maputo, Mtwara corridor, north- south corridor e.t.c. What state are they in, is the implementation vigorous enough, to what can be done to step that forward,” explained former Tanzanian president Benjamin Mkapa.
MINDS received explicit endorsement by the late President Mandela as its founding in 2010. He said:- It is my hope that the Mandela Institute for Development Studies ( MINDS) will make a real difference in the resolution of the challenges that confront Africa through vibrant and robust debate, interrogating current paradigms and offering new approaches.
Ms Graca Machel, Mr Ali A. Mufuruki and Ms Sarah Mankaer serve on the Board of MINDS. It has an Advisory Board comprising Dr. Kaberuka, Dr. Ngozi Okonjo-Eweala, Mr Francis Daniel, and Mr Ayed Nouredinne.

MTO MBEZI WAGEUKA TISHIO KWA WAKAZI WA GOBA

Wakazi wa pembezoni mwa Mto Mbezi wakivuka mto kuelekea upande wa pili.Wakazi wakiendelea kuvuka mto.
Mto Mbezi unaotembea kuanzia Mbezi Kimara kupitia Makongo juu B mpaka Goba kuelekea Kawe hadi baharini, umekuwa tishio kwa wakazi wa maeneo ya karibu na mto huo kwani hautabiriki na hata kipindi cha jua unajaa pasipo watu kujua mvua imenyesha wapi.
“Yaani mto huu ni tishio kubwa kwa wapita njia kwani unaweza kuwa eneo lako mvua haijanyesha ukajiamini kwa kupita lakini kama imenyesha eneo lingine ukashangaa maji yamejaa ambayo yanao uwezo wa kumeza mtu,  hili ni tatizo na mbaya zaidi unapanuliwa na wachimba mchanga” alisema mama Mmoja anayefahamika kwa jina la Mama Adelina.
Aidha wakazi wa huko wametoa kilio chao kwa serikali kuwatengenezea daraja kwa ajili ya kuvuka wakati wa mvua kwani ardhi ya huko kupita njia nyingine imekuwa haifai kabisa kwasababu ya mfinyanzi hasa wakati wa mvua tatizo ambalo ni la muda mrefu.

CPwaa kuanza kugawana mapato na Maproducer​s





Msanii wa muziki wa Kizazi kipya Ilunga Khalifa a.k.a CPwaa kuanza rasmi utaratibu wa kugawana mirabaa na watengenezaji na wasimamizi wa kazi zake za sanaa.
Maamuzi haya yamekuja chini ya mkataba mpya ambao CPwaa ameingia na "Record label" yake ya "Brainstormusic" ambayo itazinduliwa rasmi siku za usoni.Maamuzi haya ni magumu kwa wasanii wengi lakini kwa wale wafuatiliaji na wadau wa muziki hakika wanatambua biashara ya muziki inafanyikaje na jinsi kila muhusika anavyotakiwa kupata share zake kutokana na makubaliano yaliyofikiwa na pande zote kupitia sheria za kitaifa na kimataifa za haki miliki.
CPwaa ambaye amakuwa akifanya kazi na "Brainstormusic" kwa miaka mingi tayari amekuwa na mafanikio makubwa kimuziki kupitia uongozi na usimamizi wa kampuni hiyo.Ukiacha tuzo 3 za Kilimanjaro Muisc awards,nomination za tuzo za kimataifa kama Channel O ,CPwaa anaendelea kufaidika kupitia mikataba mizuri ya shows na endorsements kwenye makampuni mbalimbali kupitia label hiyo.
.."Kupitia Brainstormusic nimejifunza vitu vingi sana kuhusu sanaa ya muziki baadaa kufanya kazi na makampuni ya hapa Tanzania na nje.Nimesafiri nchi nyingi Africa na Asia kupitia muziki na kusema ukweli Tanzania kuna mambo mengi sana bado hayako sawa kwenye biashara ya muziki" Umefika muda wa sasa kushare experience na knowledge na kama tukifata utaratibu huu hakuna mtu atadhulumiwa wala kulalamika.Kila mdau anahusika.".....aliongezea CPwaa!!
 
Kwenye utayarishaji wa muziki kila muhusika huwa anakuwa kiwango fulani cha asilimia ya mapato anapata kutokana na mchango wake.Kwa kawaida mapato ya muziki "Royalties" hugawanywa kati ya Songwriter ( mtunzi wa nyimbo ambae ndio mmliki halali wa nyimbo), Producer ( Mtayarishaji), Performing Artist ( Muimbaji wa nyimbo) na Publisher au Record label ( wasambazaji na wasimamizi). Mgawanyo unatokana na kiwango cha mchango wa kila muhusika na mara nyingi huwa makubaliano kati ya wahusika. Kimataifa au kawaida mtunzi huchukua asilimia kubwa na wengine hupata sehemu tu mirabaa itakayokusanywa.Serikali haihusiki na makubaliano ya asilimia za mirabaa kati ya wahusika au hatua za awali za hiyo sanaa ila inahusika kwenye kuweka na kutoza kiwango fulani kinacholipwa na vyombo vyote vinavyotumia kazi za sanaa na kisha kugawa mirabaa kwa wale wamiliki wa hizo sanaa.
Kuanzia mwaka huu Producer yeyote atakayefanya kazi na CPwaa chini ya usimamizi wa "Brainstormusic" basi atafaidika si tu kwenye malipo ya awali ya utengenezaji wa beat na studio time ila pia asilimia fulani ya mapatao ya mirabaa itakayoingizwa na kazi hiyo. Kimataifa producer huchukua kati ya 20 - 25% kutokana na kwamba yeye kama mtengenezaji wa beat basi ndio mmliki wa ile beat.
Huu ni utaratibu mpya utakuwepo kwa maproducer wote watakaofanya kazi na CPwaa au Brainstormusic kuanzia mwaka huu:
1.Kazi zote zitaandaliwa na kufanywa chini ya makubaliano yaliyoandikwa na kusainiwa na pande zote.Invoice na risiti zitahusika.
2.Brainstormusic ikinunua beat pamoja na haki miliki zake ( yaani producer akiuza beat jumla) basi hatapata share za mirabaa.
 
3.Kama Brainstormusic au Msanii wake atahusika kwenye hatua za utayarishaji beat,vionjo,idea,upangiliaji basi asilimia fulani ( Chini ya makubaliano) ya mirabaa itatolewa na Brainstormusic kwa Producer wa kazi hiyo.
4.Kama producer atahusika mwanzo mwisho kutengeneza na kukamilisha beat hiyo bila uhusika wa Brainstormusic au msanii wake basi producer atapata asilimia fulani kubwa zaidi ( Chini ya makubaliano) ya mapato ya mirabaa ya kazi hiyo.
5. Ukiacha mapato ya mirabaa Brainstormusic itamlipa Producer au Studio gharama za kawaida ( Delivery / Studio Fee) kama utaratibu ulivyo sasa.
Brainstormusic ni Record label ya kujitegemea inayofanya kazi na wasanii,maproducers na makampuni mbalimbali.Mwaka huu imedhamiria kujitanua kwenye Music Publishing hivyo kupitia mikataba yake itahakikisha producer analipwa asilimia yake kutoka makampuni mbalimbali kama ikiwemo Music Stores,makampuni ya milio ya simu na PROs ( Performance Rights Organization) kama COSOTA.
Bado hakuna utaratibu mzuri nchini Tanzania unaotumika kwenye utendaji na usimamizi wa kazi za sanaa kuanzia hatua za awali."Brainstormusic" tunatambua mchango na kuheshimu kila mtu kwenye "Food Chain" ya sanaa na hivyo tutafanya kazi kufuata miongozo ya kitaifa na kimataifa ambapo kila mtu anapata maslahi kutokana na mchango wake. Utaratibu huu hautaishia kwa CPwaa tu bali wasanii wote watakaokuwa wakisimamiwa na "Brainstormusic".

PICHA INATISHA...KIJANA AFARIKI GHAFLA BAADA YA KULIPULIWA NA SIMU


Taarifa iloenea sehem tofauti za mji wa Zanzibar:-
Kuna kijana anajulikana kwa jina la Ally mkazi wa Michenzani (Kiswandui)jirani na kwa bi mkubwa stadi umri wake miaka 22 amefariki ghafla maghribi ya leo,taarifa zilopatikana sababu ya kifo chake ni kuwa :-

Alikuwa akicharge simu yake kwa kutumia laptop na wakati huo huo alikuwa anazungumza na mtu kupitia simu hiyo,baada ya cmu kupata joto kali(over heat),simu hiyo ilimripukia na kumuathiri sehemu za mikono,uso hasa upande aloweka simu hiyo na kupelekea kufariki dunia.??? ??? ???? ???? ????? Maziko kesho inshaallah saa 4 msikiti wa Gongoni tafadhali sambaza ujumbe huu kwa wote ili sisi tulio na tabia kama hiyo tuiwache mara moja.Allah amsameh dhambi zake na amuingize peponi

KINANA ACHARUKA NA KUSEMA: WASALITI CCM WAKO KUMI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema hana mpango wa kuwahoji Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaotokana na chama hicho kwa sababu ya misimamo yao inayokinzana na miongozo ya chama, kwa kuwa anawafahamu wote kwa majina na idadi yao haizidi kumi.

Kauli hiyo ya Kinana inafuatia taarifa zilizoripotiwa na gazeti hili hivi karibuni kuwa, CCM kimeanza kuwahoji baadhi ya wabunge wake, ambao ni Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kwa sababu ya kupingana na maelekezo ya chama hicho kuhusu Muundo wa Serikali mbili.

 “Sisi (CCM) hatuhoji mtu kwa sababu ya kuwa na msimamo tofauti, kwani hawa wenye msimamo tofauti na chama hawazidi kumi ama siyo zaidi ya 15,” alisema Kinana na kuongeza;

“Hawa watu mimi nawajua kwa majina, mmoja (jina tunalo) ni hatari zaidi kwa sababu anaweza kuwakusanya wengine na kuwashawishi wafuate msimamo wake, lakini waliobaki wote, hawatishi kwa kuwa wanabaki na misimamo yao wenyewe.”

Kwa mujibu wa habari hiyo, wajumbe waliohojiwa ni wale wanaotokana na Ubunge wa Jamhuri ya Muungano na ambao wanataka Muundo wa Serikali tatu. “Ni kweli hata mimi niliitwa na akaniambia (mwakilishi wa chama) ametumwa aniletee ujumbe kuwa niko kwenye orodha ya watu 90 na nikiendelea na msimamo wangu nitachukuliwa hatua,” alieleza mmoja wa wajumbe waliodai kuwa wamehojiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM.

Maelezo ya Kinana

Kinana aliliambia gazeti hili kuwa, kulingana na muundo wa chama hicho tawala, viongozi wanaoweza kuwahoji watu ni yeye Katibu Mkuu, Makamu Mwenyekiti, Mwenyekiti wa Wabunge wa CCM, Waziri Mkuu na Mwenyekiti wa chama Taifa. “Tena tunafanya hivyo kwenye vikao maalumu na kwa sababu ambazo haziwezi kuwa siri.”

Kinana alieleza kuwa taarifa kwamba CCM imewahoji watu 90 kutokana na kuwa na misimamo tofauti na chama hicho kuhusu Serikali mbili na kura ya wazi, siyo za kweli na anaamini imesambazwa na watu kwa malengo yao binafsi. Kinana anafafanua kuwa CCM kama chama kikubwa nchini chenye wafuasi karibu nchi nzima, hakiwezi kudhibiti mitizamo ya watu na kimsingi tofauti za mitazamo ndiyo msingi wa demokrasia.

Novemba 20 mwaka 2012 akizungumza katika kipindi cha Jenerali on Monday kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Kinana alitoa onyo kwa makada wasaliti kuwa atasimamia utekelezaji wa uamuzi wa Halmashuari Kuu ya CCM (Nec) ya kuwabaini na kuwaondoa viongozi wanaokwenda kinyume na matakwa ya chama na kukipaka matope.

Kura ya wazi na Serikali mbili

Katika hatua nyingine, Kinana alizungumzia msimamo wa chama hicho wa kura ya siri na muundo wa Serikali mbili, akieleza kuwa siyo jambo la ajabu, kwani katika mchakato wa kutunga katiba, kila kundi lina maoni na mtazamo wake na kuutetea kwenye mijadala.

“Wanaosema kuna vyama havina msimamo pale bungeni ni waongo. Siyo vyama tu, kila kikundi kina msimamo unaotokana na uchambuzi wao wa hali ya siasa nchini na wanachofikiri kina masilahi kwa nchi na watu wanaofuata mtazamo wao. Hawawezi kuniambia kama Lipumba (Profesa Ibrahim) na Mbowe (Freeman), hawana wanachosimamia kwenye mjadala huo wa Bunge Maalumu,” alisema na kusisitiza:

ULEVI WA SHISHA WASHIKA KASI BONGO..WAGUNDULIKA UNA MADHARA MAKUBWA


Umeibuka ulevi mpya nchini ambao umethibitika kuwateka vijana hasa wa jiji la Dar es Salaam, huku kukiwa na taarifa za kitaalamu kwamba ulevi huo una athari za kiafya kwa watumiaji.

Ulevi huo ni kupitia starehe au anasa mpya ya uvutaji shisha; ulevi ambao watengenezaji hutumia chombo maalumu chenye bomba la kutolea moshi, ambacho huwekwa tumbaku, maji na moto.

Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa tumbaku huwekwa katika chombo hicho na kuunguzwa kwa moto, kisha moshi wa tumbaku hupita kwenye maji na huingia kwenye bomba, kisha watumiaji huanza kuvuta.

Sehemu maarufu ambako shisha inauzwa ni Ufukwe wa Coco, maeneo ya Kinondoni, Mwananyamala, Sinza Barabara ya Shekilango na maeneo kadhaa ya mitaa ya mjini.

Mmoja wa watumiaji wa shisha, Ismail Ndunguru alisema yeye na vijana wenzake hutumia siku za mwisho wa wiki kwenda kuburudika kwa uvutaji katika hoteli moja iliyopo mjini, Mtaa wa Garden jijini Dar es Salaam.

“Kuvuta shisha kwa siku nzima ni Shilingi 10,000, mkimaliza, mnarudisha bomba. Tukiwa vijana wengi inafurahisha sana kuvuta,” alisema Ndunguru.

Taarifa za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaeleza kuwa, mkupuo mmoja wa shisha, una kemikali hai 4,800 na kwamba kemikali hizo husababisha saratani ya mapafu, maradhi ya moyo na maradhi ya mfumo wa upumuaji.

WHO inaeleza kuwa, kiasi cha uvutaji wa shisha kwa saa moja ni sawa na kuvuta sigara 100 au 200.

Daktari Bingwa wa magonjwa ya ndani ya mwili na mfumo wa hewa, Meshack Shimwela alisema madhara ya shisha ni kama yale yanayosababishwa na uvutaji wa sigara pengine na zaidi kutokana na kilevi hicho kuwa na tumbaku nyingi.

Dk Shimwela alisema licha ya kuwa watengenezaji na wavutaji wa shisha hudai kuwa haina madhara kwa sababu huchanganywa na maji, lakini bado madhara yake ni makubwa.

“Maradhi yote yanayosababishwa na uvutaji wa sigara ndiyo yanayosababishwa na shisha, kwa mfano saratani ya mapafu na mdomo, kifua kikuu na mzio ambao unaweza kusababisha pumu,” alisema Dk. Shimwela.

Dk. Shimwela alisema ni vizuri watumiaji wakajua madhara ya shisha, badala ya kuchukulia kuwa ni mtindo wa maisha tu au starehe isiyo na madhara.