Thursday, February 20, 2014

ZITTO AMWOMBA RAIS ASIONGEZE POSHO WANAZOLILIA WABUNGE WA BUNGE LA KATIBA

Ishu ya posho za bunge la katiba ndiyo inayoongelewa sana hivi sasa ambapo pamoja na headlines zote za Wabunge, haya ni mawazo ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe kuhusu hii posho.IANGALIA HAPA

No comments:

Post a Comment