Wednesday, June 19, 2013

ZITTO KABWE ASHINDWA KUVUMILIA NA KUANDIKA HAYA KUHUSU MAUJI YA ARUSHA



"Inaumiza sana. Ukisikia watu walioumia tukio la kinyama Arusha inaumiza. Mtoto anaona Mtu aliyevaa nguo za polisi anampiga Risasi, mtoto huyu daima atawaonaje polisi. Mpaka lini unyama huu utaendelea? Halafu watu wanafanya siasa. Raia wamekufa. Tuvumilie kweli?"

No comments:

Post a Comment