Monday, June 24, 2013

KWA KAULI YA PINDA , TUTAPONA KWELI KWA HAWA JAMAAAA

Wanajeshi wakitoa kichapo  huku mwingine akiwa ameninginizwa kama swala na wawindaji porini..
Angalizo....picha hii nimeikuta mtandaoni inawezekana sio ya Tanzania......mmh mwenzangu nisije ninginizwa na mimi...

No comments:

Post a Comment