Wednesday, May 22, 2013

WEZI WAANZA TENA BUKOBA

baada ya baadhi ya wana nchi kuwa wana ozea jera kwa makosa ya kushiliki kupiga wezi na kuwauwa sasa wametengeneza hari ya uoga inayo wafanya majizi kuwa huru katika kufanya kazi yao hali inayo wafanya baadhi ya wananchi kulia na kusaga meno

No comments:

Post a Comment