Thursday, May 23, 2013

Afande'Edward'aliyekamatwa na magunia18 ya bangi Himo ametoroka mikononi mwa polisi!

Alikua akipelekwa nyumbani kwake kwa upekuzi zaidi,Inspector Isaac aliyekua kiongozi wa askari wakimsindikiza ashikiliwa kwa uchunguzi zaidi,mwenzie pc George afikishwa mahakamani leo.

No comments:

Post a Comment