Thursday, May 23, 2013

AJALI MBAYA YA MAGARI MATATU CHANG'OMBE JIJINI DAR



Ajali mbaya iliyohusisha magari matatu imetokea katika barabara ya Chang’ombe jijini Dar es salaam na kusababisha msongamano mkubwa wa magari; na watu kuchota mafuta yanayomwagika kutoka kwenye Lori hilo.

No comments:

Post a Comment