Sunday, April 14, 2013

ISHU YA MKATABA WA RICK ROSS NA REEBOK KUKATISHWA BADO IKO KWENYE HEADLINES

Wakati kundi la kutetea Wanawake la Ultra Violet likisherehekea uamuzi wa kampuni ya Reebok kusitisha mkataba wake na rapper Rick Ross kutokana na mashairi yake kuonekana yakisifia ubakaji, baadhi ya watu walio kwenye timu ya Rick Ross wameonekana kukerwa na uamuzi wa kampuni ya Reebok.
Japo Rick Ross mwenyewe hajaongea chochote mpaka sasa, rapper Meek Mill ambae yuko chini ya Maybach Music ya Rozay amelianzisha baada ya kuidiss Reebok kwa kusema lebo ya viatu vyao ni sawa na FILA, yani lebo ya kizamani.

Hawa ni sehemu ya waliojitokeza kupinga mashairi ya Rick Ross ndio maana waliandamana na kuitaka kampuni…

Wakati kundi la kutetea Wanawake la Ultra Violet likisherehekea uamuzi wa kampuni ya Reebok kusitisha mkataba wake na rapper Rick Ross kutokana na mashairi yake kuonekana yakisifia ubakaji, baadhi ya watu walio kwenye timu ya Rick Ross wameonekana kukerwa na uamuzi wa kampuni ya Reebok.
Japo Rick Ross mwenyewe hajaongea chochote mpaka sasa, rapper Meek Mill ambae yuko chini ya Maybach Music ya Rozay amelianzisha baada ya kuidiss Reebok kwa kusema lebo ya viatu vyao ni sawa na FILA, yani lebo ya kizamani.

Hawa ni sehemu ya waliojitokeza kupinga mashairi ya Rick Ross ndio maana waliandamana na kuitaka kampuni hiyo impige chini Rozay kama inataka biashara iendelee.
Wakati kundi la kutetea Wanawake la Ultra Violet likisherehekea uamuzi wa kampuni ya Reebok kusitisha mkataba wake na rapper Rick Ross kutokana na mashairi yake kuonekana yakisifia ubakaji, baadhi ya watu walio kwenye timu ya Rick Ross wameonekana kukerwa na uamuzi wa kampuni ya Reebok.
Japo Rick Ross mwenyewe hajaongea chochote mpaka sasa, rapper Meek Mill ambae yuko chini ya Maybach Music ya Rozay amelianzisha baada ya kuidiss Reebok kwa kusema lebo ya viatu vyao ni sawa na FILA, yani lebo ya kizamani.

Wakati kundi la kutetea Wanawake la Ultra Violet likisherehekea uamuzi wa kampuni ya Reebok kusitisha mkataba wake na rapper Rick Ross kutokana na mashairi yake kuonekana yakisifia ubakaji, baadhi ya watu walio kwenye timu ya Rick Ross wameonekana kukerwa na uamuzi wa kampuni ya Reebok.
Japo Rick Ross mwenyewe hajaongea chochote mpaka sasa, rapper Meek Mill ambae yuko chini ya Maybach Music ya Rozay amelianzisha baada ya kuidiss Reebok kwa kusema lebo ya viatu vyao ni sawa na FILA, yani lebo ya kizamani.

Hawa ni sehemu ya waliojitokeza kupinga mashairi ya Rick Ross ndio maana waliandamana na kuitaka kampuni hiyo impige chini Rozay kama inataka biashara iendelee.
Wakati kundi la kutetea Wanawake la Ultra Violet likisherehekea uamuzi wa kampuni ya Reebok kusitisha mkataba wake na rapper Rick Ross kutokana na mashairi yake kuonekana yakisifia ubakaji, baadhi ya watu walio kwenye timu ya Rick Ross wameonekana kukerwa na uamuzi wa kampuni ya Reebok.
Japo Rick Ross mwenyewe hajaongea chochote mpaka sasa, rapper Meek Mill ambae yuko chini ya Maybach Music ya Rozay amelianzisha baada ya kuidiss Reebok kwa kusema lebo ya viatu vyao ni sawa na FILA, yani lebo ya kizamani.

Hawa ni sehemu ya waliojitokeza kupinga mashairi ya Rick Ross ndio maana waliandamana na kuitaka kampuni hiyo impige chini Rozay kama inataka biashara iendelee.

No comments:

Post a Comment