Sunday, April 21, 2013

HARUSI YA MDAU MOHAMED KHASIM ILIKUWA YA KIMA TAIFA...

 bwana harusi na bibi harusi wakifungua sherehe




 mr&mrs simba wakipiga picha ya pamoja

 wadau wakijiandaa kuingia ukumbini
 bwana harusi na bibi harusi wakiusakata mziki
 full shangwe kwa wana kamati









 mdau mr&mrs ibrahim wakipata picha ya pamoja

 mr&mr mohamed khasim(bwana na bibi arusi)

dada rukia (dada wa bwana harusi)


 wana kamati wakitokelezea

 wanakamati wakipanga mikakati na mc

 maharusi wakipiga picha ya pamoja



 mh erenest nyambo


 mr jamco (mwenyekiti wa kamati)
 waalikwa wakipiga picha ya pamoja
 wazazi wa mohamed khasim
lulu akiongoza msafala wa maarusi
 mr athumani akitokelezea
 bata za kutosha
kweli harusi ilikuwa ni ya kitofauti, kitu ambacho ni cha kujivunia kuanzia kwa bwana harusi alivaa suti ya kitofauti na inavyo semekana aijawai kutokea apa nchini japo suti hiyo ilikuwa made in Tanzania wadau walijifunza mengi kupitia hilo, siwez kuyasema yote hiyo ndo harusi ya bwana na bibi mohamed khasim. mungu ibaliki tanzania wabariki mr na mrs khasim katika ndoa yao wabaliki na wadau wote amen

No comments:

Post a Comment